Askari Polisi wanaoshughulika na doria katika maeneo ya Mnazi Mmoja Dar es Salaam, wakiwa wamemkamata mwendesha Pikipiki katika mataa ya Mnazi Mmoja, haikuweza kufahamika kosa la mwendesha pikipiki huyo. Askari kama hawa wengi tu wamekuwa wakisahau majukumu yao ya ulinzi katika maeneo mbalimbali na hata katika mabenki na kuanza kufanya kazi za askari wa usalama Barabarani ambapo huwakamata zaidi madereva wa pikipiki mwisho wake???????
TANZANIA NA MAREKANI ZAJA NA MAPINDUZI MAKUBWA KWENYE SEKTA YA AFYA
-
Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani
(U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C., kutekeleza kwa mkakati
...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment