Askari Polisi wanaoshughulika na doria katika maeneo ya Mnazi Mmoja Dar es Salaam, wakiwa wamemkamata mwendesha Pikipiki katika mataa ya Mnazi Mmoja, haikuweza kufahamika kosa la mwendesha pikipiki huyo. Askari kama hawa wengi tu wamekuwa wakisahau majukumu yao ya ulinzi katika maeneo mbalimbali na hata katika mabenki na kuanza kufanya kazi za askari wa usalama Barabarani ambapo huwakamata zaidi madereva wa pikipiki mwisho wake???????
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi...
15 hours ago
No comments:
Post a Comment