Askari Polisi wanaoshughulika na doria katika maeneo ya Mnazi Mmoja Dar es Salaam, wakiwa wamemkamata mwendesha Pikipiki katika mataa ya Mnazi Mmoja, haikuweza kufahamika kosa la mwendesha pikipiki huyo. Askari kama hawa wengi tu wamekuwa wakisahau majukumu yao ya ulinzi katika maeneo mbalimbali na hata katika mabenki na kuanza kufanya kazi za askari wa usalama Barabarani ambapo huwakamata zaidi madereva wa pikipiki mwisho wake???????
RUWASA GEITA DC YAFANYA MKUTANO WA NUSU MWAKA NA CBWSO
-
Jumla ya shilingi milioni 40 hukusanywa Kila mwezi kutoka kwa jumuiya za
watoa huduma za maji ngazi ya jamii (CBWSO) katika wilaya ya Geita.
Hayo yamesem...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment