Askari Polisi wanaoshughulika na doria katika maeneo ya Mnazi Mmoja Dar es Salaam, wakiwa wamemkamata mwendesha Pikipiki katika mataa ya Mnazi Mmoja, haikuweza kufahamika kosa la mwendesha pikipiki huyo. Askari kama hawa wengi tu wamekuwa wakisahau majukumu yao ya ulinzi katika maeneo mbalimbali na hata katika mabenki na kuanza kufanya kazi za askari wa usalama Barabarani ambapo huwakamata zaidi madereva wa pikipiki mwisho wake???????
SERIKALI YAAHIDI KUTUMIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI YA JUWATA KUTENGENEZA
BIDHAA MBALIMBALI
-
Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali
yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi
kwa vitend...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment