Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda, akiingia ndani ya ukumbi wa Bunge kuongoza kikao cha kwanza cha mkutano wa tatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo asubuhi mjini Dodoma.
Spika wa Bunge ,Anne Makinda akitoa ufafanuzi kwa wabunge kuhusu kanuni za uendeshaji wa shughuli za bunge leo mjini Dodoma..Wabunge wakiwa katika kipindi cha maswali na majibu ndani ya mkutano wa huo leo mjini Dodoma.Picha na Aron Msigwa – MAELEZO. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia katika mazungumzo na Mbunge wa Viti Maalum, Mary Mwanjelwa (katikati) na Mbunge wa Lupa , Victor Mwambalaswa (kushoto) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
NBS WAJADILI KUBORESHA TAKWIMU NCHIN
-
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imekutana kujadili utekelezaji pamoja na
kupitisha Mpango Kazi wa Awamu ya Pili ya Mradi Kabambe wa Kuboresha
Takwimu nc...
‘NINJA’ HIMID MAO MKAMI NAYE AREJEA AZAM FC
-
KLABU ya Azam FC imemtambulisha kiungo Himid Mao Mkami (32) kuwa mchezaji
wake mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja hadi mwaka 2026 akitokea Ghazl El
Mahallay...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment