Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Ilala, Dar es Salaam leo mchana, kuhusu mambo muhimu yaliyokosekana katika Katiba mpya. Kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Ukombozi ya Kimataifa, Maisha Muchunguzi. Mtikila amedai kuwa Katiba hiyo haijawalenga watanzania wote bali imewalenga watanzania Bara na kuwabagua watanzania wa Visiwani Zanzibar.
MRADI WA BUREFOBI WACHOCHEA UTALII IKOLOJIA KATIKA HIFADHI YA MISITU PUGU
KAZIMZUMBWI
-
Na Mwandishi Wetu, Pwani
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema maboresho ya miundombinu
yanayotekelezwa kupitia Mradi wa Kujenga Ustahimili...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment