Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Ilala, Dar es Salaam leo mchana, kuhusu mambo muhimu yaliyokosekana katika Katiba mpya. Kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Ukombozi ya Kimataifa, Maisha Muchunguzi. Mtikila amedai kuwa Katiba hiyo haijawalenga watanzania wote bali imewalenga watanzania Bara na kuwabagua watanzania wa Visiwani Zanzibar.
AAT KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU BARABARANI
KUNUSURU AJALI MASHULENI
-
WANANCHI Watakiwa kujikita zaidi katika Kusoma na Kujifunza zaidi Elimu ya
Usalama Barabarani ili kuepuka ajali zisizo za lazima hususani kwa Watoto
Mash...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment