Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Ilala, Dar es Salaam leo mchana, kuhusu mambo muhimu yaliyokosekana katika Katiba mpya. Kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Ukombozi ya Kimataifa, Maisha Muchunguzi. Mtikila amedai kuwa Katiba hiyo haijawalenga watanzania wote bali imewalenga watanzania Bara na kuwabagua watanzania wa Visiwani Zanzibar.
MJI WA BABATI KUNUFAIKA NA UJENZI WA BARABARA NA STENDI YA KISASA KUPITIA
MRADI WA TACTIC
-
Babati, Manyara
Halmashauri ya Mji wa Babati mkoani Manyara ni miongoni mwa miji
inayonufaika na utekelezaji wa mradi wa Uendelezaji wa Miundombinu ya Mi...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment