Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Ilala, Dar es Salaam leo mchana, kuhusu mambo muhimu yaliyokosekana katika Katiba mpya. Kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Ukombozi ya Kimataifa, Maisha Muchunguzi. Mtikila amedai kuwa Katiba hiyo haijawalenga watanzania wote bali imewalenga watanzania Bara na kuwabagua watanzania wa Visiwani Zanzibar.
Prof. Anyoni: Tutumie Teknolojia Kujijenga Kiuchumi
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Serikali imeandaa mkakati maalumu wa kutambua mahitaji ya teknolojia nchini
(Technology Road Map) kwa kipindi cha miaka 20 ...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment