Mjumbe wa Umoja wa Wakazi wa Mtaa wa Mzimuni Magomeni, Dar es Salaam, Ramadhan Mohamed (kushoto) akimkabidhi msaada wa vyombo na sabuni Mkurugenzi wa kituo cha kulelea yatima na watoto waishio katika mazingira magumu cha Umra, Rahma Juma, kwa ajili ya watoto wa kituo hicho wapatao 65. Makabidhiano hayo yalifanyika kituoni hapo leo mchana. Katikati ni mjumbe wa umoja huo, Shaban Kiate na (kulia) pia ni mjumbe Ricco Baadhi ya watoto wa kituo hicho wakibeba maboksi yenye vyombo hivyo.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 19, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 19, 2024,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ken...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment