Beki wa Majimaji, Yahaya Shaban, akiondosha hatari langoni kwake, mbele ya Nico Nyagawa (kushoto) na Jerry Santo.
Mohamed Banka wa Simba (kushoto) akichuna kuwania mpira na beki wa Majimaji, Kulwa Mobi, ambaye dakika chache baada ya picha hii alipewa kadi nyekundu kwa kumchezea vibaya Jerry Santo.
Warembo wa Vodacom, Erica Aunt (kulia) na Irene Stephen, wakipozi na kombe Uwanjani hapo wakati wakisubiri iwapo Simba itashina bai akabidhiwe kombe hilo. 


No comments:
Post a Comment