Uongozi pamoja na wa Wafanyakazi wa Kiwanda hicho, kinachotengeneza Mafuta na Sabuni ambacho ni moja ya makampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL) leo wamejitolea kuchangia damu ikiwa ni kutikia wito kutokana na kupungua kwa akiba ya damu katika benki ya damu nchini Tanzania. Zoezi hilo limefanyika leo katika Kiwanda hicho kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam, huku wafanyakazi hao wakiongozwa na Meneja Mkuu Vekant Police.
Meneja mwajiri wa kampuni hiyo, Aneez Akbar, akipewa maelezo na mtaalam, Betty Swai, kabla ya kuchangia damu.
KIBU DENIS KWAHERI SIMBA SC , AJIUNGA A AL NASR YA LIBYA
-
KLABU ya Simba imemtakia kila la heri mshambuliaji wake, Kibu Denis Prosper
ambaye anahamia Al Nasr SC ya Libya kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu kwa
ad...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment