Uongozi pamoja na wa Wafanyakazi wa Kiwanda hicho, kinachotengeneza Mafuta na Sabuni ambacho ni moja ya makampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL) leo wamejitolea kuchangia damu ikiwa ni kutikia wito kutokana na kupungua kwa akiba ya damu katika benki ya damu nchini Tanzania. Zoezi hilo limefanyika leo katika Kiwanda hicho kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam, huku wafanyakazi hao wakiongozwa na Meneja Mkuu Vekant Police.
Meneja mwajiri wa kampuni hiyo, Aneez Akbar, akipewa maelezo na mtaalam, Betty Swai, kabla ya kuchangia damu.
PIKU Afrika yakabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya nne ya mnada wa
kidijitali
-
Na Mwandishi Wetu
JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee
kupitia mtandao, leo Septemba 20, 2025, limetangaza na kukabidhi...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment