Uongozi pamoja na wa Wafanyakazi wa Kiwanda hicho, kinachotengeneza Mafuta na Sabuni ambacho ni moja ya makampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL) leo wamejitolea kuchangia damu ikiwa ni kutikia wito kutokana na kupungua kwa akiba ya damu katika benki ya damu nchini Tanzania. Zoezi hilo limefanyika leo katika Kiwanda hicho kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam, huku wafanyakazi hao wakiongozwa na Meneja Mkuu Vekant Police.
Meneja mwajiri wa kampuni hiyo, Aneez Akbar, akipewa maelezo na mtaalam, Betty Swai, kabla ya kuchangia damu.
MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI YAZINDULIWA ADEM
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imefungua
mafunzo ya siku tatu ya Uongozi na Usimamizi wa Shu...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment