Habari za Punde

*ILALA YAZIDI KUHAMASISHA WANAMICHEZO WA NGUMI

Bondia, Mohamed Matibwa, wa Matimbwa Boxing, (kulia) akichapana na Ibrahimu Class wa Amana Boxing wakati wa pambano lao la kirafiki la mazoezi 'Class' alishinda kwa K,O raundi ya nne wakati wa mpambano wa kuhamasisha mchezo wa ngumi mkoa wa Ilala uliofanyika katika ukumbi wa Panandi Panandi Ilala Bungoni. Picha na Mpigapicha Wetu
Bondia Yakubu Abdulhamani (kulia) akimshambulia mpinzani wake, Halili Hamisi wa Matimbwa wakati wa mchezo wa kuamasisha ngumi mkoa wa ilala Dar es salaam leo Hamisi alishinda kwa pointi.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.