Bondia, Mohamed Matibwa, wa Matimbwa Boxing, (kulia) akichapana na Ibrahimu Class wa Amana Boxing wakati wa pambano lao la kirafiki la mazoezi 'Class' alishinda kwa K,O raundi ya nne wakati wa mpambano wa kuhamasisha mchezo wa ngumi mkoa wa Ilala uliofanyika katika ukumbi wa Panandi Panandi Ilala Bungoni. Picha na Mpigapicha Wetu
WANANCHI WAHIMIZWA KUHAMA MAENEO HATARISHI
-
NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
Wananchi wamehimizwa kuendelea kuchukua tahadhari na kuondoka katika maeneo
hatarishi yenye viashiria vya kuathiriwa na maafa ili ...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment