Hawa ni baadhi tu ya wazee wastaafu wa Jeshi la Watu wa Jamhuri ya Congo Brazzaville, kila mmoja akiwa na kitita chake mkononi katika moja ya mtaa wa Brazzaville, wakisubiri wateja wa kuwachenjia fedha tofauti na wabongo tulivyozoea ambavyo tumekuwa tukiona shughuli kama hiii ikifanywa katika sehemu maalum na hasa zilizo na usalama wakutosha. Lakini wazee hawa kwa raha zao wanajiamini mwanzo mwishi na pindi unapofika kutaka chenji unaona Mzee akizama katika Soksi na kuibuka na kitita kisha kuanza kukuhesabia tena kwa kiasi chochote utakachohitaji na iwe dola ama fedha ya Kikongo na fedha za baadhi ya nchi za karibu zilizo na mzunguko mkubwa nchini kwao.
SERIKALI YAAHIDI KUTUMIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI YA JUWATA KUTENGENEZA
BIDHAA MBALIMBALI
-
Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali
yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi
kwa vitend...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment