msingi Kilimani Sesame na kujaribu kuwafundisha kitabu alichokizundua leo jijini Dar es Salaam cha CHANDARUA Salama cah Kilimani Sesame chenye kutoa elimu juu ya Malaria .Ugojwa wa. Malaria ya ni hatari husababisha vifo vingi kuliko ugojwa mwengine wowote nchini hususani kwa akina mama wajawazito na watoto ambao miili yao ni dhaifu.
HALMASHAURI YA MERU YAJIVUANIA BOOST KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA SERA YA ELIMU
-
Kupitia Program ya BOOST, Halmashauri ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha,
imepokea jumla ya Sh. Bilioni 2 na milioni 71 ambayo imewezesha ujenzi wa
miundombin...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment