msingi Kilimani Sesame na kujaribu kuwafundisha kitabu alichokizundua leo jijini Dar es Salaam cha CHANDARUA Salama cah Kilimani Sesame chenye kutoa elimu juu ya Malaria .Ugojwa wa. Malaria ya ni hatari husababisha vifo vingi kuliko ugojwa mwengine wowote nchini hususani kwa akina mama wajawazito na watoto ambao miili yao ni dhaifu.
MKURUGENZI MKUU WA HALOTEL TANZANIA ATEMBELEA BANDA LA HALOTEL KATIKA
MAONESHO YA SABASABA 2026
-
Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bw. Bui Van Thang, leo ametembelea
banda la Halotel katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es
Salaam ...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment