Mbunge wa Chake Chake Pemba, Mwanahamis Said, ameanguka leo asubuhi Bungeni wakati Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mkoa wa Iringa, Deo Filikunjombe, akiwa anachangia Bajeti ya Serikali. Haikuweza kufahamika chanzo cha kuangua Mbunge huyo.
USWISI YAITOA COLOMBIA KWA MATUTA NA KUTINGA ROBO FAINALI
-
TIMU ya Uswisi imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Dunia baada ya
ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya bila mabao na Colombia ndani ya
dakika ...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment