Mbunge wa Chake Chake Pemba, Mwanahamis Said, ameanguka leo asubuhi Bungeni wakati Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mkoa wa Iringa, Deo Filikunjombe, akiwa anachangia Bajeti ya Serikali. Haikuweza kufahamika chanzo cha kuangua Mbunge huyo.
Malawi Kuongeza Ushirikiano wa Kimatibabu na Hospitali ya Benjamin Mkapa.
-
Waziri wa Afya na Usafi wa Mazingira wa Jamhuri ya Malawi Madalitso
Baloyi, amesema serikali ya nchi yake inaangalia uwezekano wa kupunguza
gharama za m...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment