katika mahafali hayo, jumla ya wanafunzi 31 wenye ulemavu walihitimu mafunzo na kupata vyeti katika programu hiyo tayari jumla ya wanafunzi 5 wa mambo ya upishi wamepata ajira katika hoteli mbalimbali za kitalalii nchini.
Kozi zinazotolewa kwa walemavu hao ni pamoja na Uokaji wa mikate, (Bookery and Housekeeping) na useremala ambapo taasisi ya Cefa imeshilikiana na RADER ,CCRDB kwa msaada wa Umoja wa Ulaya (EU). Picha na Albert Jackson.
No comments:
Post a Comment