Hali ya bungeni si shwari mchana huu mjengoni baada ya Mbunge Kafulila, kuchafua hali ya hewa kwa kauli yake kuwa Tanzania ni taifa 'omba omba' kauli iliyomchukiza Mwenyekiti wa kikao hicho aliyemtaka kufuta kauli yake hiyo kabla ya Waziri wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta, kusimama na kuchafua zaidi hali ya hewa kwa wapinzani kwa kauli yake kuwa "kazi yao kupinga na watabaki kuwa wapinzani daima".
KAMA HUNA UWEZO USIOMBE KAZI ILALA - DC MPOGOLO
-
Mkuu wa wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewataka wakandarasi wenye nia
ya kuja kuomba kazi katika Wilaya hiyo kuhakikisha kuwa wana uwezo wa
kufany...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment