Hali ya bungeni si shwari mchana huu mjengoni baada ya Mbunge Kafulila, kuchafua hali ya hewa kwa kauli yake kuwa Tanzania ni taifa 'omba omba' kauli iliyomchukiza Mwenyekiti wa kikao hicho aliyemtaka kufuta kauli yake hiyo kabla ya Waziri wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta, kusimama na kuchafua zaidi hali ya hewa kwa wapinzani kwa kauli yake kuwa "kazi yao kupinga na watabaki kuwa wapinzani daima".
HALMASHAURI YA WILAYA MBINGA YAKUSANYA BILIONI 12.4 KATI YA LENGO LA
KUKUSANYA BILIONI 8.2
-
Mbinga-Ruvuma.
Halimashauri ya Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma,imekufanikiwa kukusanya
Sh.bilioni 12.2 kati ya lengo la awali la kukusanya Sh.bilioni 8.4 had...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment