Hali ya bungeni si shwari mchana huu mjengoni baada ya Mbunge Kafulila, kuchafua hali ya hewa kwa kauli yake kuwa Tanzania ni taifa 'omba omba' kauli iliyomchukiza Mwenyekiti wa kikao hicho aliyemtaka kufuta kauli yake hiyo kabla ya Waziri wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta, kusimama na kuchafua zaidi hali ya hewa kwa wapinzani kwa kauli yake kuwa "kazi yao kupinga na watabaki kuwa wapinzani daima".
TRC KUMWAGA AJIRA 2,460 SGR
-
Shirika la Reli Tanzania linatarajia kuajiri wafanyakazi 2,460 katika mradi
wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kwa vipande viwili vya Kutoka Dar es
Sal...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment