Hali ya bungeni si shwari mchana huu mjengoni baada ya Mbunge Kafulila, kuchafua hali ya hewa kwa kauli yake kuwa Tanzania ni taifa 'omba omba' kauli iliyomchukiza Mwenyekiti wa kikao hicho aliyemtaka kufuta kauli yake hiyo kabla ya Waziri wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta, kusimama na kuchafua zaidi hali ya hewa kwa wapinzani kwa kauli yake kuwa "kazi yao kupinga na watabaki kuwa wapinzani daima".
UONGOZI WA TANZANIA BREWERIES PLC WACHUKUA HATUA KULINDA MIFUMO YA MAJI
TAKA JIJINI DAR ES SALAAM
-
• TBL na viongozi wa jiji waungana kulinda mifumo ya maji taka Dar es Salaam
• Kampeni ya usafi inaonyesha utekelezaji wa vitendo wa ahadi za uendelevu
...
5 minutes ago

No comments:
Post a Comment