Hali ya bungeni si shwari mchana huu mjengoni baada ya Mbunge Kafulila, kuchafua hali ya hewa kwa kauli yake kuwa Tanzania ni taifa 'omba omba' kauli iliyomchukiza Mwenyekiti wa kikao hicho aliyemtaka kufuta kauli yake hiyo kabla ya Waziri wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta, kusimama na kuchafua zaidi hali ya hewa kwa wapinzani kwa kauli yake kuwa "kazi yao kupinga na watabaki kuwa wapinzani daima".
SERIKALI YAMWAGA BILIONI 25/- KUCHOCHEA UZALISHAJI DAWA NCHINI
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza mkakati mpya wa
kuifanya sekta ya uzalishaji wa dawa kuwa kipaumbele cha kitaifa ili
kuimarisha u...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment