Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ngumi za Riadhaa Tanzania,Makore Mashaga akimkabidhi vifaa vya michezo bondia wa timu ya Taifa ya ngumi, Suleiman Kidunda, jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo inayojiandaa kuondoka nchini kuelekea Msumbiji kushiriki katika mashindano ya All African Games. Katikati ni Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Edward Emmanuel.
SERIKALI YATOA FEDHA KUJENGA SHULE MPYA YA SEKONDARI KATA YA MSANJA,
KILINDI.
-
Wananchi wa Jimbo la Kilindi wamepokea kwa furaha taarifa ya Serikali kutoa
fedha kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika Kata ya Msanja,
K...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment