Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ngumi za Riadhaa Tanzania,Makore Mashaga akimkabidhi vifaa vya michezo bondia wa timu ya Taifa ya ngumi, Suleiman Kidunda, jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo inayojiandaa kuondoka nchini kuelekea Msumbiji kushiriki katika mashindano ya All African Games. Katikati ni Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Edward Emmanuel.
DSE na TSA Waanzisha Ushirikiano kwa Maendeleo ya Startups na Ubunifu Nchini
-
Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limeingia kwenye ushirikiano rasmi na
Tanzania Startup Association (TSA) kwa kusaini makubaliano ya ushirikiano
(MoU...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment