Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ngumi za Riadhaa Tanzania,Makore Mashaga akimkabidhi vifaa vya michezo bondia wa timu ya Taifa ya ngumi, Suleiman Kidunda, jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo inayojiandaa kuondoka nchini kuelekea Msumbiji kushiriki katika mashindano ya All African Games. Katikati ni Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Edward Emmanuel.
VALENTINE’S DAY YAJA NA MSISIMKO MPYA: MATI SUPER BRANDS LTD YAZINDUA ROYAL
LOVE CHALLENGE 2026
-
*Dar es Salaam — Kampuni ya Mati Super Brands Ltd kupitia kinywaji chake
cha kifahari cha Tanzanite Royal Gin imezindua rasmi kampeni maalum ya
msimu w...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment