Wakazi wengi wa jijini Dar es Salaam, siku hizi wamekuwa wakitumia zaidi usafiri wa Bajaji kwa kila jambo iwe usafiri ama kuhamisha na kubebea mizigo ikiwa ni sehemu ya kukwepa bei kubwa inayotozwa na madereva wa Pick Up, lakini usafiri kama huu si salama na ni hatari kwa usalama wa abiria kama hivi walivyoning'inia juu ya Bajaji hiyo abiria hawa wakiwa na mizigo yao bila wasi wasi kama walivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto maeneo ya Kurasini Dar jana.
Serikali Yavutiwa na Uwekezaji wa TZS Bilioni 35 wa MES Uzalishaji wa Vifaa
vya Uchimbaji Madini
-
Serikali imepongeza jitihada za muwekezaji Kampuni ya Uhandisi na
Uzalishaji wa vifaa vya uchimbaji madini ya Mining Engineering Services
Tanzania Limited ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment