Wakazi wengi wa jijini Dar es Salaam, siku hizi wamekuwa wakitumia zaidi usafiri wa Bajaji kwa kila jambo iwe usafiri ama kuhamisha na kubebea mizigo ikiwa ni sehemu ya kukwepa bei kubwa inayotozwa na madereva wa Pick Up, lakini usafiri kama huu si salama na ni hatari kwa usalama wa abiria kama hivi walivyoning'inia juu ya Bajaji hiyo abiria hawa wakiwa na mizigo yao bila wasi wasi kama walivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto maeneo ya Kurasini Dar jana.
WADAU WAANZA KUVUTIWA NA MAKUMBUSHO YA JIOPAKI YA NGORONGORO LENGAI
-
Na Mwandishi wetu, Karatu Arusha.
Siku chache baada ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, kuzindua M...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment