Wakazi wengi wa jijini Dar es Salaam, siku hizi wamekuwa wakitumia zaidi usafiri wa Bajaji kwa kila jambo iwe usafiri ama kuhamisha na kubebea mizigo ikiwa ni sehemu ya kukwepa bei kubwa inayotozwa na madereva wa Pick Up, lakini usafiri kama huu si salama na ni hatari kwa usalama wa abiria kama hivi walivyoning'inia juu ya Bajaji hiyo abiria hawa wakiwa na mizigo yao bila wasi wasi kama walivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto maeneo ya Kurasini Dar jana.
RC SENDIGA ATOA ONYO KWA WANAWAKE VIONGOZI: ‘TUKIRUDI NYUMBANI SISI NI WAKE’
-
*Manyara — Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Cuthbert Sendiga, amewataka
wanawake wakiwemo viongozi kutambua na kuheshimu nafasi zao ndani ya ndoa,
akisi...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment