Wakazi wengi wa jijini Dar es Salaam, siku hizi wamekuwa wakitumia zaidi usafiri wa Bajaji kwa kila jambo iwe usafiri ama kuhamisha na kubebea mizigo ikiwa ni sehemu ya kukwepa bei kubwa inayotozwa na madereva wa Pick Up, lakini usafiri kama huu si salama na ni hatari kwa usalama wa abiria kama hivi walivyoning'inia juu ya Bajaji hiyo abiria hawa wakiwa na mizigo yao bila wasi wasi kama walivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto maeneo ya Kurasini Dar jana.
NIDHAMU, UWAJIBIKAJI CHACHU YA MAFANIKIO KATIKA SEKTA YA ELIMU: MTENDAJI
MKUU ADEM
-
Hayo yamesemwa leo tarehe 25 Juni, 2025 na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa
Maendeleo ya Uongozi wa Elimu – ADEM Dkt. Maulid J. Maulid alipokuwa
akifungua rasmi ...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment