Habari za Punde

*VODACOM YAANZISHA SIKU YA MAZOEZI KWA AFYA YA WAKAZI WA DAR

Baadhi ya wakazi wa jijini Dar es Salaam, wakifanya katika mazoezi ya pamoja yaliyoandaliwa na kampuni ya simu za mkononi Vodacom, ikiwa ni siku maalum ya mazoezi iliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Posta Kijitonyama jijini chini ya udhamini wa Vodacom Kazi ni Kwako.
Hapa ni tizi tu kwa kwenda mbele hii ni kwa afya, Kazi ni Kwako!

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.