Bondia Fransic Miyeyusho (kushoto) naMbwana Matumla kulia wakitunishiana misuli wakati wakitambulishwa na mratibu wa pambano lao Mohamed Bawazir kuhusu pambano lao la kuwania ubingwa wa Mabara (UBO) wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dar es Salaam jana, utakaofanyika mwishoni mwa mezi ujao.
WATU WANNE MBARONI KWA MAUAJI YA MWANAFUNZI WA IFM
-
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa wanne
wanaohusishwa na tukio la mauaji ya James Rogers Temba, aliyekuwa
mwanafun...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment