Bondia Fransic Miyeyusho (kushoto) naMbwana Matumla kulia wakitunishiana misuli wakati wakitambulishwa na mratibu wa pambano lao Mohamed Bawazir kuhusu pambano lao la kuwania ubingwa wa Mabara (UBO) wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dar es Salaam jana, utakaofanyika mwishoni mwa mezi ujao.
KAMPUNI YA RADDY ENERGY YA TANZANIA KUNUNUA MITAMBO YA UZALISHAJI UMEME
KUTOKA KAMPUNI YA SIEMENS YA USWIDI
-
*Balozi wa Tanzania nchini Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi (wa nne kutoka
kushoto mstari wa mbele), akiwa pamoja na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Raddy
Energ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment