Bondia Fransic Miyeyusho (kushoto) naMbwana Matumla kulia wakitunishiana misuli wakati wakitambulishwa na mratibu wa pambano lao Mohamed Bawazir kuhusu pambano lao la kuwania ubingwa wa Mabara (UBO) wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dar es Salaam jana, utakaofanyika mwishoni mwa mezi ujao.
MASAUNI AMETOA RAI KWA WABUNGE KUPINGA UPOTOSHAJI KUHUSU MUUNGANO
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.
Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akizungumza wakati wa semina kuhusu Muungano
na Mazingir...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment