Mwendesha Baiskeli ya miguu mitatu, akiwa amebeba mzigo uliozidi uwezo wa usafiri wake na kukatiza katika barabara ya Mandera huku akipishana na magari jambo ambalo ni hatari. Baiskeli hiyo ilikuwa ikitembea huku ikiyumba kutokana na kuzidiwa uzito jambo lililomfanya dereva huyu muda mwingine kushuka na kukokota.
Dkt. William Ruto Aipongeza NSSF Tanzania Kwa Uwekezaji wa Dola zaidi ya
Milioni 51 Nairobi
-
Rais wa Kenya, Mhe. Dkt. William Ruto, ameusifu uwekezaji wa Mfuko wa Taifa
wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wa Tanzania unaoendelea jijini Nairobi, akisema
ni m...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment