Mwendesha Baiskeli ya miguu mitatu, akiwa amebeba mzigo uliozidi uwezo wa usafiri wake na kukatiza katika barabara ya Mandera huku akipishana na magari jambo ambalo ni hatari. Baiskeli hiyo ilikuwa ikitembea huku ikiyumba kutokana na kuzidiwa uzito jambo lililomfanya dereva huyu muda mwingine kushuka na kukokota.
DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Iringa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka taasisi za
uhifadhi nchini, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania ...
49 minutes ago

No comments:
Post a Comment