Mwendesha Baiskeli ya miguu mitatu, akiwa amebeba mzigo uliozidi uwezo wa usafiri wake na kukatiza katika barabara ya Mandera huku akipishana na magari jambo ambalo ni hatari. Baiskeli hiyo ilikuwa ikitembea huku ikiyumba kutokana na kuzidiwa uzito jambo lililomfanya dereva huyu muda mwingine kushuka na kukokota.
MBUNGE KAIRUKI ATOA MATUMAINI MAPYA SARANGA, AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA
KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI
-
Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Kibamba, Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki,
amefanya ziara ya kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo
inayoendelea...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment