NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Bara), John Chiligati (kulia), akikabidhi hundi ya sh. milioni 70 kwa mwakilishi wa kampuni ya PNR Services Limited, Dasharath Reddy, zilizotolewa msaada na mfanyabiashara Jaffer Sabodo kwa ajili ya kuchimba visima 10 vya maji katika Jimbo la Singida Mjini, mkoani Singida. Katikati ni mwakilishi wa Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji, Esther Dotto. Makabidhiano hayo yamefanyika nyumbani kwa mfanyabiashara huyo, Upanga, jijini Dar es salaam, hivi karibuni.
Access Bank Tanzania Yakamilisha Ununuzi wa Kitengo cha Huduma za Wateja
Binafsi, Wafanyabiashara na Biashara wa Kati wa Benki ya Standard Chartered
-
Benki ya Access Tanzania yapanua huduma zake nchini, yaimarisha huduma za
kibinafsi na biashara, na kuchochea ujumuishaji wa kifedha kwa Watanzania
wote....
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment