NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Bara), John Chiligati (kulia), akikabidhi hundi ya sh. milioni 70 kwa mwakilishi wa kampuni ya PNR Services Limited, Dasharath Reddy, zilizotolewa msaada na mfanyabiashara Jaffer Sabodo kwa ajili ya kuchimba visima 10 vya maji katika Jimbo la Singida Mjini, mkoani Singida. Katikati ni mwakilishi wa Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji, Esther Dotto. Makabidhiano hayo yamefanyika nyumbani kwa mfanyabiashara huyo, Upanga, jijini Dar es salaam, hivi karibuni.
Wasafi haiipingi Sheria ya Huduma za Habari, Diamond aipongeza JAB na
kuiunga mkono Serikali
-
Na Mwandishi Wetu
Mkurugenzi wa Wasafi Media, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz, amesema
wazi kuwa Wasafi Media haina msimamo wa kupinga Sheria ya...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment