NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Bara), John Chiligati (kulia), akikabidhi hundi ya sh. milioni 70 kwa mwakilishi wa kampuni ya PNR Services Limited, Dasharath Reddy, zilizotolewa msaada na mfanyabiashara Jaffer Sabodo kwa ajili ya kuchimba visima 10 vya maji katika Jimbo la Singida Mjini, mkoani Singida. Katikati ni mwakilishi wa Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji, Esther Dotto. Makabidhiano hayo yamefanyika nyumbani kwa mfanyabiashara huyo, Upanga, jijini Dar es salaam, hivi karibuni.
PPAA YAWAITA WADAU UNUNUZI WA UMMA “SABASABA” KUPATA ELIMU
-
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewasihi wadau wa ununuzi wa
umma na wananchi kwa ujumla kutembelea banda la Mamlaka ya Rufani kupata
uelewa ...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment