Habari za Punde

*SABODO ATOA MSAADA WA SH. MILIONI 70 ZA KUCHIMBA VISIMA 10 VYA MAJI MKOANI SINGIDA

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Bara), John Chiligati (kulia), akikabidhi hundi ya sh. milioni 70 kwa mwakilishi wa kampuni ya PNR Services Limited, Dasharath Reddy, zilizotolewa msaada na mfanyabiashara Jaffer Sabodo kwa ajili ya kuchimba visima 10 vya maji katika Jimbo la Singida Mjini, mkoani Singida. Katikati ni mwakilishi wa Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji, Esther Dotto. Makabidhiano hayo yamefanyika  nyumbani kwa mfanyabiashara huyo, Upanga, jijini Dar es salaam, hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.