Rais Jakaya Mrisho Kikwete (watatu kulia mstari wa pili) akiwa na baadhi ya wakuu wa nchi wanachama wa Jumuia ya madola, wakimsikiliza mtu mwenye asili ya watu wa Australia ( anaeonekana kwenye kingamuzi) akielezea asili ya nchi hiyo leo mjini Perth nchini Australia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa jumuia ya madola. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO
NMB yatwaa tuzo baada ya kuikabidhi Serikali gawio la Sh96.9 bilioni-
-
BENKI ya NMB imetunukiwa tuzo ya mchangiaji bora wa gawio baada ya
kuikabidhi Serikali Sh96.9 bilioni, ikiwa ni utambuzi wa mchango wake
katika kuongeza ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment