Rais Jakaya Mrisho Kikwete (watatu kulia mstari wa pili) akiwa na baadhi ya wakuu wa nchi wanachama wa Jumuia ya madola, wakimsikiliza mtu mwenye asili ya watu wa Australia ( anaeonekana kwenye kingamuzi) akielezea asili ya nchi hiyo leo mjini Perth nchini Australia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa jumuia ya madola. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO
Yanga Kukutana na Al Ahly Jumamosi Zanzibar, Polisi Waahidi Ulinzi Mkali
-
Na Mwandishi Wetu
MASHABIKI wa soka nchini Tanzania wanatarajiwa kushuhudia mchezo mkubwa wa
kimataifa siku ya Jumamosi, tarehe 31 Januari 2026, amba...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment