Choo kikiwa kimejengwa mbele ya nyumba upande wa Barabarani eneo la Kinondoni Shamba badala ya kujengwa uwani mwa nyumba hiyo, jambo ambalo haliendani na maisha ya kawaida ya binadam ama maadili ya Kitanzania. Choo hiki kama kinacyoonekana kikiwa karibu kabisa na barabara inayopitisha magari ya kila aina sasa sijui siku gari likikosea njia likavamia choo hiki wakati jamaa akiwa ndani itakuwaje. 'WABONGO TUPUNGUZE VITUKO'
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada awasili nchini kwa ziara ya
Kikazi
-
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada Mhe. Randeep Sarai amewasili
nchini kwa ziara ya kikazi ya siku Tatu.
Mhe. Sarai anatarajiwa kutembelea miradi m...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment