Habari za Punde

*DUH! USWAZI KUNAVITUKO JAMAA KAJENGA CHOO BARABARANI

Choo kikiwa kimejengwa mbele ya nyumba upande wa Barabarani eneo la Kinondoni Shamba badala ya kujengwa uwani mwa nyumba hiyo, jambo ambalo haliendani na maisha ya kawaida ya binadam ama maadili ya Kitanzania. Choo hiki kama kinacyoonekana kikiwa karibu kabisa na barabara inayopitisha magari ya kila aina sasa sijui siku gari likikosea njia likavamia choo hiki wakati jamaa akiwa ndani itakuwaje. 'WABONGO TUPUNGUZE VITUKO'

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.