Choo kikiwa kimejengwa mbele ya nyumba upande wa Barabarani eneo la Kinondoni Shamba badala ya kujengwa uwani mwa nyumba hiyo, jambo ambalo haliendani na maisha ya kawaida ya binadam ama maadili ya Kitanzania. Choo hiki kama kinacyoonekana kikiwa karibu kabisa na barabara inayopitisha magari ya kila aina sasa sijui siku gari likikosea njia likavamia choo hiki wakati jamaa akiwa ndani itakuwaje. 'WABONGO TUPUNGUZE VITUKO'
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 26, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 26,
2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na
za nyuma za Ma...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment