Choo kikiwa kimejengwa mbele ya nyumba upande wa Barabarani eneo la Kinondoni Shamba badala ya kujengwa uwani mwa nyumba hiyo, jambo ambalo haliendani na maisha ya kawaida ya binadam ama maadili ya Kitanzania. Choo hiki kama kinacyoonekana kikiwa karibu kabisa na barabara inayopitisha magari ya kila aina sasa sijui siku gari likikosea njia likavamia choo hiki wakati jamaa akiwa ndani itakuwaje. 'WABONGO TUPUNGUZE VITUKO'
WAHIFADHI TFS SAO HILL WAJENGEWA UELEWA WA AFYA
-
Mhifadhi Mkuu wa Shamba la Miti Sao Hill, PCO Tebby Yoramu,akiwa anapima
afya akiwaongoza watumishi wengine wa Zao Hill kupima afya zao na amesema
mafu...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment