Choo kikiwa kimejengwa mbele ya nyumba upande wa Barabarani eneo la Kinondoni Shamba badala ya kujengwa uwani mwa nyumba hiyo, jambo ambalo haliendani na maisha ya kawaida ya binadam ama maadili ya Kitanzania. Choo hiki kama kinacyoonekana kikiwa karibu kabisa na barabara inayopitisha magari ya kila aina sasa sijui siku gari likikosea njia likavamia choo hiki wakati jamaa akiwa ndani itakuwaje. 'WABONGO TUPUNGUZE VITUKO'
UNDP Tanzania Yawapatia Wanafunzi Wajasiriamali 20 Zaidi ya Shilingi
Milioni 70 Kupitia Awamu ya Pili ya Programu ya Youth Ignite Student
Founders Fellowship
-
Wanafunzi wajasiriamali ishirini kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini
wamepatiwa zawadi za fedha taslimu zaidi ya Shilingi milioni 70 kufuatia
shindano l...
59 minutes ago

No comments:
Post a Comment