Choo kikiwa kimejengwa mbele ya nyumba upande wa Barabarani eneo la Kinondoni Shamba badala ya kujengwa uwani mwa nyumba hiyo, jambo ambalo haliendani na maisha ya kawaida ya binadam ama maadili ya Kitanzania. Choo hiki kama kinacyoonekana kikiwa karibu kabisa na barabara inayopitisha magari ya kila aina sasa sijui siku gari likikosea njia likavamia choo hiki wakati jamaa akiwa ndani itakuwaje. 'WABONGO TUPUNGUZE VITUKO'
Matukio ya Picha kwenye Mananda VETA na TEA maonesho ya wiki ya Elimu Tanga
-
Wananchi wakipata elimu katika Banda la VETA aliyetembelea banda la
kwenye maonesho ya wiki ya elimu MAKISATU yanayoendelea katika viwanja vya
shule ...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment