Baadhi ya Abiria na Madereva walioamua kutelemka katika magari yao na kumzonga Trafic katika mataa ya Ubalozi wiki iliyopia subuhi baada ya trafic huyo kupitisha magari ya upande mmoja kwa muda mrefu, ambapo walikuwa wakipiga honi na makelele huku wakimtusi askari huyo na walipoona hawajali akiendelea kufanya kazi yake waliamua kumfuata na kumsukumiza pembeni kisha wakaanza kuamrisha magari yaliyokuwa upande wao yaani barabara ya Kinondoni inayotokea Mwananyama na kuanza kuyapitisha huku askari huyo akiyaita magari yanayotoka barabara ya Ali Hassan Mwinyi yaani Mwenge kuelekea Posta, jambo ambalo lilitaka kusababisha ajali siku hiyo.
OYARZABAL APIGA MBILI HISPANIA YAITANDIKA SAUDI ARABIA 4-0 KOMBE LA DUNIA
-
TIMU ya Hispania imeiadhibu Saudi Arabia kwa kuichapa mabao 4-0 usiku huu
katika mchezo wa Kundi H Fainali za Kombe la Dunia Uwanja wa Mercedes-Benz
Stad...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment