Baadhi ya Abiria na Madereva walioamua kutelemka katika magari yao na kumzonga Trafic katika mataa ya Ubalozi wiki iliyopia subuhi baada ya trafic huyo kupitisha magari ya upande mmoja kwa muda mrefu, ambapo walikuwa wakipiga honi na makelele huku wakimtusi askari huyo na walipoona hawajali akiendelea kufanya kazi yake waliamua kumfuata na kumsukumiza pembeni kisha wakaanza kuamrisha magari yaliyokuwa upande wao yaani barabara ya Kinondoni inayotokea Mwananyama na kuanza kuyapitisha huku askari huyo akiyaita magari yanayotoka barabara ya Ali Hassan Mwinyi yaani Mwenge kuelekea Posta, jambo ambalo lilitaka kusababisha ajali siku hiyo.
SIMBA SC YAOMBA JESHI LA POLISI LIWAKAMATE WALIOMFANYIA FUJO MANGUNGU
-
BODI ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba SC imeliomba Jeshi la Polisi Tanzania
kuwachukulia hatua mashabiki waliomvamia Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Ally
Ma...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment