Habari za Punde

*SIKU ABIRIA NA MADEREVA WALIPOAMUA KUMFUNDISHA KAZI TRAFIC NA KUONGOZA MAGARI YA UPANDE WAO

Baadhi ya Abiria na Madereva walioamua kutelemka katika magari yao na kumzonga Trafic katika mataa ya Ubalozi wiki iliyopia subuhi baada ya trafic huyo kupitisha magari ya upande mmoja kwa muda mrefu, ambapo walikuwa wakipiga honi na makelele huku wakimtusi askari huyo na walipoona hawajali akiendelea kufanya kazi yake waliamua kumfuata na kumsukumiza pembeni kisha wakaanza kuamrisha magari yaliyokuwa upande wao yaani barabara ya Kinondoni inayotokea Mwananyama na kuanza kuyapitisha  huku askari huyo akiyaita magari yanayotoka barabara ya Ali Hassan Mwinyi yaani Mwenge kuelekea Posta, jambo ambalo lilitaka kusababisha ajali siku hiyo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.