Mtaro wa maji machafu uliopo maeneo ya Kinondoni Shamba Dar es Salaam, ukiwa umejaa takataka ambazo miongoni mwa taka hizo ni zile zinazotupwa na wakazi wa maeneo hayo bila kujali usafi wa mazingira. Wabongo lipi jema????
KWA UWEKEZAJI HUU TANZANIA LAZIMA ICHOMOZE
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeanza rasmi safari ya
mapinduzi ya kifikra na kiuchumi kupitia mfumo mpya wa elimu unaolenga
kuifanya nch...
30 minutes ago

No comments:
Post a Comment