Wahitimu wa Shahada ya Sanaa ya Mawasiliano ya Umma ya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Jeff Shelembi, Leonard Magomba, Emmanuel Kwitema na Paul James almaaruf PJ wa Clouds FM wakijadiliana jambo baada ya kuvishwa shahada zao katika mahafali ya chuo hicho yaliyofanyika leo kwenye viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam.
PBPA Yafungua Milango kwa Vijana wa Uhandisi wa Mafuta kutoka UDSM na DMI
-
Na Mwandishi Wetu- Dar es Salaam.
Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) leo tarehe 30 Januari, 2026
umepokea ugeni wa wanafunzi 30 wa Kitengo cha Pet...
5 minutes ago

No comments:
Post a Comment