Wahitimu wa Shahada ya Sanaa ya Mawasiliano ya Umma ya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Jeff Shelembi, Leonard Magomba, Emmanuel Kwitema na Paul James almaaruf PJ wa Clouds FM wakijadiliana jambo baada ya kuvishwa shahada zao katika mahafali ya chuo hicho yaliyofanyika leo kwenye viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam.
FCC Yaazimia Kuunga Mkono Mpango Mkakati wa Miaka Mitano 2026/31
-
Baraza la Wafanyakazi la Nne la Tume ya Ushindani (FCC) limehitimisha kikao
chake cha siku mbili kwa kuazimia kuunga mkono rasimu ya Mpango Mkakati
Mpya wa...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment