Wahitimu wa Shahada ya Sanaa ya Mawasiliano ya Umma ya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Jeff Shelembi, Leonard Magomba, Emmanuel Kwitema na Paul James almaaruf PJ wa Clouds FM wakijadiliana jambo baada ya kuvishwa shahada zao katika mahafali ya chuo hicho yaliyofanyika leo kwenye viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam.
Tuwakatae kwa nguvu zote wachochezi wanaotaka kuturudisha Oktoba 29
-
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa
Kagera, Faris Buruhani, amewataka vijana kuendelea kulinda amani na utulivu
wa nc...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment