Wahitimu wa Shahada ya Sanaa ya Mawasiliano ya Umma ya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Jeff Shelembi, Leonard Magomba, Emmanuel Kwitema na Paul James almaaruf PJ wa Clouds FM wakijadiliana jambo baada ya kuvishwa shahada zao katika mahafali ya chuo hicho yaliyofanyika leo kwenye viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam.
TRA Dodoma Yawataka Wafanyabiashara Kulipa Kodi Kabla ya Septemba 30
-
Na. Yahya Saleh, Dodoma
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma Bw. Pendolake
Elinisafi amewataka wafanyabiashara kuhakikisha wanalipa ko...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment