Studio ya Tuff Records iliyopo mjini Morogoro, katika kushehelekea Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania, imewakutanisha wasanii chipukizi wa muziki wa Kizazi kipya 'Bongo Flava' katika tasnia ya muziki na kurekodi wimbo wa pamoja uitwao Tunaweza Miaka 50, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sherehe hizo na kuonyesha umoja wa wasanii hao wa mkoani Morogoro.Wimbo huu ni kwajili ya watu wote wenye upendo na inchi hii. Ni kwa ushilikiano na blog ya CHUMA (BFL) http://bongoflavalink.blogspot.com
MKUU WA MKOA WA MWANZA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA MRADI WA UWEKEZAJI WA
JENGO LA HOTELI YA NYOTA TANO WA NSSF
-
-Aeleza matarajio ya Serikali ya awamu ya sita ni kuona miradi ya
kimkakati ukiwemo hoteli ya nyota tano jijini Mwanza unakamilika
Na MWANDISHI WETU,
...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment