Studio ya Tuff Records iliyopo mjini Morogoro, katika kushehelekea Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania, imewakutanisha wasanii chipukizi wa muziki wa Kizazi kipya 'Bongo Flava' katika tasnia ya muziki na kurekodi wimbo wa pamoja uitwao Tunaweza Miaka 50, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sherehe hizo na kuonyesha umoja wa wasanii hao wa mkoani Morogoro.Wimbo huu ni kwajili ya watu wote wenye upendo na inchi hii. Ni kwa ushilikiano na blog ya CHUMA (BFL) http://bongoflavalink.blogspot.com
TAARIFA KUTOKA BODI YA WAKURUGENZI YA TAIFA GROUP KUHUSU TUHUMA
ZILIZOTOLEWA HIVI KARIBUNI
-
*Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi wa Taifa Group Limited ("Taifa Group")
tunapenda kukanusha kwa dhati na kwa uwazi tuhuma zisizokuwa na msingi
zilizotol...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment