Studio ya Tuff Records iliyopo mjini Morogoro, katika kushehelekea Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania, imewakutanisha wasanii chipukizi wa muziki wa Kizazi kipya 'Bongo Flava' katika tasnia ya muziki na kurekodi wimbo wa pamoja uitwao Tunaweza Miaka 50, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sherehe hizo na kuonyesha umoja wa wasanii hao wa mkoani Morogoro.Wimbo huu ni kwajili ya watu wote wenye upendo na inchi hii. Ni kwa ushilikiano na blog ya CHUMA (BFL) http://bongoflavalink.blogspot.com
PPAA yawanoa wazabuni Kanda ya Kaskazini
-
Na Mwandishi wetu, Arusha
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendelea na zoezi la
kuwajengea uwezo wazabuni kuhusu matumizi ya Moduli ya kuwasi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment