Studio ya Tuff Records iliyopo mjini Morogoro, katika kushehelekea Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania, imewakutanisha wasanii chipukizi wa muziki wa Kizazi kipya 'Bongo Flava' katika tasnia ya muziki na kurekodi wimbo wa pamoja uitwao Tunaweza Miaka 50, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sherehe hizo na kuonyesha umoja wa wasanii hao wa mkoani Morogoro.Wimbo huu ni kwajili ya watu wote wenye upendo na inchi hii. Ni kwa ushilikiano na blog ya CHUMA (BFL) http://bongoflavalink.blogspot.com
Mkurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania akutana na Mkurugenzi wa Benki ya
Dunia anayesimamia Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe kuimarisha
Mahusiano ya kibiashara
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (kushoto),
akiwa na Bw. Nathan Belete, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia anayesimamia
Malawi, ...
45 minutes ago

No comments:
Post a Comment