Studio ya Tuff Records iliyopo mjini Morogoro, katika kushehelekea Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania, imewakutanisha wasanii chipukizi wa muziki wa Kizazi kipya 'Bongo Flava' katika tasnia ya muziki na kurekodi wimbo wa pamoja uitwao Tunaweza Miaka 50, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sherehe hizo na kuonyesha umoja wa wasanii hao wa mkoani Morogoro.Wimbo huu ni kwajili ya watu wote wenye upendo na inchi hii. Ni kwa ushilikiano na blog ya CHUMA (BFL) http://bongoflavalink.blogspot.com
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Akiwa Afanya mazungumzo na Rais wa nchi,
Azali Assoumani
-
BALOZI wa Tanzania nchini Comoro, Mhe. Saidi Yakubu akiwa katika mazungumzo
na Rais wa nchi hiyo, Mhe. Azali Assoumani walipokutana hivi karibuni. Rais
Aza...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment