Studio ya Tuff Records iliyopo mjini Morogoro, katika kushehelekea Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania, imewakutanisha wasanii chipukizi wa muziki wa Kizazi kipya 'Bongo Flava' katika tasnia ya muziki na kurekodi wimbo wa pamoja uitwao Tunaweza Miaka 50, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sherehe hizo na kuonyesha umoja wa wasanii hao wa mkoani Morogoro.Wimbo huu ni kwajili ya watu wote wenye upendo na inchi hii. Ni kwa ushilikiano na blog ya CHUMA (BFL) http://bongoflavalink.blogspot.com
YAS FIBER KUWEKEZA SHILINGI BILIONI 300 KUPANUA MKONGA WA MAWASILIANO
ZANZIBAR KWA KUSHIRIKIANA NA ZICTIA
-
Na Mwandishi Wetu Zanzibar
YAS Fiber Tanzania itawekeza takriban shilingi bilioni 300 kwa kipindi cha
miaka 20 ili kupanua huduma za intaneti yenye ...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment