GYM ya Zugo iliyopo Ilala jijini Dar es Salaam, imeendelea kutoa mafunzo kabambe na mazoezi kwa vijana wanaopenda mchezo wa ngumi, ikiwa ni sehemu ya kuandaa vijana watakaorithi mchezo huo na kuliletea sifa Taifa la Tanzania katika Medani za mchezo wa ngumi. Pichani ni mwalimu wa mchezo huo, akimpa maelekezo kijana jinsi ya kutupa konde na kujihami.
JAB YAMUONYA DIVA KUKIUKA MAADILI, YAMKABIDHI PRESS CARD
-
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi, Wakili Patrick Kipangula (kushoto)
akimkabidhi Press Card kwa Mtangazaji Mwandamizi wa Kituo cha Radio cha
Wasafi Media, Di...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment