GYM ya Zugo iliyopo Ilala jijini Dar es Salaam, imeendelea kutoa mafunzo kabambe na mazoezi kwa vijana wanaopenda mchezo wa ngumi, ikiwa ni sehemu ya kuandaa vijana watakaorithi mchezo huo na kuliletea sifa Taifa la Tanzania katika Medani za mchezo wa ngumi. Pichani ni mwalimu wa mchezo huo, akimpa maelekezo kijana jinsi ya kutupa konde na kujihami.
Rais Samia amteua Ndugulile kugombea Ukurugenzi WHO Kanda ya Afrika (+video)
-
Tanzania imemtangaza kumteua Dkt. Faustine Ndugulile kuwania nafasi ya
Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika. Kampeni ya
kumnadi Dk...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment