Habari za Punde

*GYM YA ZUGO YAENDELEA KUTOA MAFUNZO YA NGUMI KWA VIJANA

GYM ya Zugo iliyopo Ilala jijini Dar es Salaam, imeendelea kutoa mafunzo kabambe na mazoezi kwa vijana wanaopenda mchezo wa ngumi, ikiwa ni sehemu ya kuandaa vijana watakaorithi mchezo huo na kuliletea sifa Taifa la Tanzania katika Medani za mchezo wa ngumi. Pichani ni mwalimu wa mchezo huo, akimpa maelekezo kijana jinsi ya kutupa konde na kujihami.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.