Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa mkutano wa majadiliano wa Viongozi wakuu 194 wa nchi wanachama wa Itifaki wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya Tabianchi, juu ya kupunguza uzalishaji wa gesijoto Duniani kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa 17 wa umoja huo uliofanyika jana Desemba 6 mjini Durban, Afrika ya Kusini. Picha na Amour Nassor-OMR
Serikali Yategemea Wanasayansi na Wahandisi Kukuza Uchumi wa Viwanda –
Prof. Mkenda
-
Dar es Salaam, Disemba 5, 2025 — Serikali imesisitiza kuwa wanasayansi na
wahandisi wanabeba jukumu kubwa katika kufanikisha dhamira ya Tanzania ya
kujenga...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment