Mwakilishi Mkazi wa UNOPS nchini Sierra Leone, Omary Mjenga, akiwa na Mwakilishi Mkazi wa UNAIDS Bi. Mulunesh, Raia wa Ethiopia, wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, ambazo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Sierra Leone, Ernest Koroma. Bi Mulunesh aliwahi kuwa Mwakilishi Mkazi wa UNAIDS nchini Tanzania mwaka 1996 hadi 2000.
COASTAL UNION YAAMBULIA SARE KWA TRA UNITED
-
WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sars ya kufungana bao 1-1 na TRA
United ya Tabora katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu
Uwanja w...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment