Mwakilishi Mkazi wa UNOPS nchini Sierra Leone, Omary Mjenga, akiwa na Mwakilishi Mkazi wa UNAIDS Bi. Mulunesh, Raia wa Ethiopia, wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, ambazo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Sierra Leone, Ernest Koroma. Bi Mulunesh aliwahi kuwa Mwakilishi Mkazi wa UNAIDS nchini Tanzania mwaka 1996 hadi 2000.
UJUMBE WA MGOMBEA URAIS DK.SAMIA KWA VIJANA AKIWATAKA KUHAKIKISHA
WANAILINDA NCHI YAO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan
amewakumbusha vijana nchini kuwa nchi inayo...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment