Mwakilishi Mkazi wa UNOPS nchini Sierra Leone, Omary Mjenga, akiwa na Mwakilishi Mkazi wa UNAIDS Bi. Mulunesh, Raia wa Ethiopia, wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, ambazo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Sierra Leone, Ernest Koroma. Bi Mulunesh aliwahi kuwa Mwakilishi Mkazi wa UNAIDS nchini Tanzania mwaka 1996 hadi 2000.
Airtel Yaongeza Uwekezaji Zanzibar, Yaingia Ushirikiano na ZECO Kuimarisha
Huduma za Kidigitali
-
Naibu Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Mhe. Seif Kombo Pandu
kushoto na Mkurugenzi wa Airtel Money Tanzania, Bw. Andrew Rugamba kulia
wakipeana...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment