Rais Jakaya Kikwete, akipongezwa na Rais Mstaafu wa Marekani, George W. Bush, leo kwa sera nzuri za Serikali yake kuhusu huduma za afya nchini hasa juhudi zinazofanyika kudhibiti malaria, ukimwi na saratani wakati walipokutana Ikulu jijini Dar es Salaam leo. Picha na Ikulu
Airtel Yaongeza Uwekezaji Zanzibar, Yaingia Ushirikiano na ZECO Kuimarisha
Huduma za Kidigitali
-
Naibu Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Mhe. Seif Kombo Pandu
kushoto na Mkurugenzi wa Airtel Money Tanzania, Bw. Andrew Rugamba kulia
wakipeana...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment