Rais Jakaya Kikwete, akipongezwa na Rais Mstaafu wa Marekani, George W. Bush, leo kwa sera nzuri za Serikali yake kuhusu huduma za afya nchini hasa juhudi zinazofanyika kudhibiti malaria, ukimwi na saratani wakati walipokutana Ikulu jijini Dar es Salaam leo. Picha na Ikulu
MWENYEKITI WA WAZAZI TAIFA AWAASA VIONGOZI WA CCM NA JUMUIYA ZSKE KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
Na Victor Masangu, Kibaha
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amewaasa
viongozi wa chama cha mapinduzi (CCM) ngazi za Wilaya p...
23 minutes ago

No comments:
Post a Comment