TIMU ya Taifa ya Uganda 'The Cranes' imewaadhibu majirani zao Rwanda kwa mikwaju ya penati katika mchezo wa fainali ya Kombe la Chalenji uliochezwa leo jioni katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa michuano hiyo ya CECAFA Chalenji 2011 baada ya kuizamisha kwa penalti 3-2 timu ya Taifa ya Rwanda 'Amavubi'.
How to Spot a Trustworthy Forex Broker in Africa
-
Perhaps no decision is as critical for a trader as choosing a reliable
broker. A good broker will provide you with the necessary conditions for
your su...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment