TIMU ya Taifa ya Uganda 'The Cranes' imewaadhibu majirani zao Rwanda kwa mikwaju ya penati katika mchezo wa fainali ya Kombe la Chalenji uliochezwa leo jioni katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa michuano hiyo ya CECAFA Chalenji 2011 baada ya kuizamisha kwa penalti 3-2 timu ya Taifa ya Rwanda 'Amavubi'.
DK NCHIMBI AWAHUTUBIA WANANCHI WA JIMBO LA KWELA,SUMBAWANGA VIJIJINI.
-
MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa
tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi
akiwahu...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment