TIMU ya Taifa ya Uganda 'The Cranes' imewaadhibu majirani zao Rwanda kwa mikwaju ya penati katika mchezo wa fainali ya Kombe la Chalenji uliochezwa leo jioni katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa michuano hiyo ya CECAFA Chalenji 2011 baada ya kuizamisha kwa penalti 3-2 timu ya Taifa ya Rwanda 'Amavubi'.
MFUKO WA WCF WATAKIWA KUONGEZA WIGO WA WANACHAMA
-
-Kamati ya Bunge Yaupongeza Mfuko huo kutoa fidia kwa Wafanyakazi
Na; Mwandishi Wetu - Dodoma
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii ime...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment