Mkuu wa Kitengo cha Kompyuta Mwandamizi kutoka Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Bw. Ulrick Mkenda (kulia) akionyesha mashine ya Selcom Gaming, wakati wa Uzinduzi wa huduma ya kulipia Ada za mitihani kupitia mashine za Selcom Gaming LTD, uliofanyika jijini Dar es salaam jana. Mashine hizo ziitwazo ‘Selcom Pay points’, zitatumika kwa wahitimu wa kujitegemea wa kidato cha nne (CSEE) na Maarifa (QT ) .Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo, Juma Mgori. Picha na Mpiga Picha Wetu
MOROCCO NJE, GAMONDI NDANI
-
Na Rahel Pallangyo
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesitisha mkataba na Kocha Mkuu wa
Taifa Stars, Hemed Ali Suleiman 'Morocco'.
Taarifa ya TFF ime...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment