Mchezaji wa Pool wa Mkoa wa kimichezo wa Kinondoni, Ally Akida akicheza na mpinzani wake Ally Akbar wa Temeke wakati wa Bonanza la Mikoa mitatu ya Dar es Salam lililofanyika na kuandaliwa na Mkoa wa Kinondoni Meeda Sinza jana. Katika mchezo huo Ally Akida alishinda.
NIC yatoa elimu ya Bima kwa Waalimu na Wanafunzi wa Sekondari jijini Mwanza.
-
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
NIC Insurance imetua katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Musabe mkoani
Mwanza kwa ajili ya kutoa elimu ya Bima kwa Waalimu n...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment