Mchezaji wa Pool wa Mkoa wa kimichezo wa Kinondoni, Ally Akida akicheza na mpinzani wake Ally Akbar wa Temeke wakati wa Bonanza la Mikoa mitatu ya Dar es Salam lililofanyika na kuandaliwa na Mkoa wa Kinondoni Meeda Sinza jana. Katika mchezo huo Ally Akida alishinda.
Rais Mwinyi: Tujivunie na Kuitumia Bidhaa Zetu za Ndani
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt.Hussein Ali
Mwinyi, amesema kuwa katika kipindi hiki cha mabadiliko, Serikali
inaendelea kufanya...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment