Timu ya Taifa 'Taifa Stars' leo imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Msumbiji ‘Mambas’, katika mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Mataifa Afrika 2013, katika mchezo uliomalizika jioni ya leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
KIBU DENIS KWAHERI SIMBA SC , AJIUNGA A AL NASR YA LIBYA
-
KLABU ya Simba imemtakia kila la heri mshambuliaji wake, Kibu Denis Prosper
ambaye anahamia Al Nasr SC ya Libya kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu kwa
ad...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment