Meneja Mahusiano kwa Umma na Habari za Mtandao wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kushoto) akionesha nambari za washindi 100 wa droo ya siku ya promosheni ya M-PESA waliojishindia Sh. 50, 000 kila mmoja, wakati wa hafla ya kuchezesha droo hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Wanaoshuhudia ni Mtaalamu wa huduma za ziada kwa wateja wa Vodacom, Reenu Verma na Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini, Bakari Maggid.
WADAU WA LISHE WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUTEKELEZA ELIMU YA LISHE SUMBAWANGA.
-
WADAU wote wa lishe wa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa wametakiwa
kuendelea kushirikiana katika utekelezaji wa elimu ya lishe unaotolewa
katika jamii...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment