Meneja Mahusiano kwa Umma na Habari za Mtandao wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kushoto) akionesha nambari za washindi 100 wa droo ya siku ya promosheni ya M-PESA waliojishindia Sh. 50, 000 kila mmoja, wakati wa hafla ya kuchezesha droo hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Wanaoshuhudia ni Mtaalamu wa huduma za ziada kwa wateja wa Vodacom, Reenu Verma na Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini, Bakari Maggid.
VIONGOZI WA DINI WAKUMBUSHWA MAOMBI KWA TAIFA, RAIS NI AGIZO LA MUNGU
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dk. Emmanuel
Nchimbi, ametoa wito mzito kwa viongozi wa dini nchini, akiwataka
kutekeleza wa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment