Meneja Mahusiano kwa Umma na Habari za Mtandao wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kushoto) akionesha nambari za washindi 100 wa droo ya siku ya promosheni ya M-PESA waliojishindia Sh. 50, 000 kila mmoja, wakati wa hafla ya kuchezesha droo hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Wanaoshuhudia ni Mtaalamu wa huduma za ziada kwa wateja wa Vodacom, Reenu Verma na Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini, Bakari Maggid.
REA YAHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA TANDAHIMBA
-
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetoa wito kwa wananchi kutumia Nishati
Safi ya Kupikia ili kulinda afya na kuokoa mazingira.
Wito huo umetolewa Oktoba ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment