Meneja Mahusiano kwa Umma na Habari za Mtandao wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kushoto) akionesha nambari za washindi 100 wa droo ya siku ya promosheni ya M-PESA waliojishindia Sh. 50, 000 kila mmoja, wakati wa hafla ya kuchezesha droo hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Wanaoshuhudia ni Mtaalamu wa huduma za ziada kwa wateja wa Vodacom, Reenu Verma na Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini, Bakari Maggid.
SERIKALI YATOA FEDHA KUJENGA SHULE MPYA YA SEKONDARI KATA YA MSANJA,
KILINDI.
-
Wananchi wa Jimbo la Kilindi wamepokea kwa furaha taarifa ya Serikali kutoa
fedha kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika Kata ya Msanja,
K...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment