Mkazi wa Kijiji cha Mhekela Wilaya ya Mbinga, akikokota Baiskeli yake iliyosheheni mzigo wa mbao akipeleka mitaa ya katikati ya mji huo kusaka wateja, kama alivyonaswa na kamera ya sufianimafoto hivi karibuni.
PURA YASHIRIKI UKAGUZI NA MAJARIBIO YA MTAMBO WA KUCHIMBA VISIMA VYA GESI
ASILIA
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeshiriki zoezi la
ukaguzi na majaribio ya mtambo utakaotumika kuchimba visima vitatu vya gesi
asilia ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment