Kocha wa mchezo wa Masumbwi, Abdalah Ilamba 'Komandoo' akimfanyisha mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo bondia, Francis Cheka, katika kambi yake jijini Dar es salaam. Chaka anajiandaa na mpambano wake na Mada Maugo utakaofanyika jumamosi ya wiki hii katika ukumbi wa PTA Sabasaba ambapo mshindi atakuwa bingwa wa Mkanda wa I.B.F na atanyakua Zawadi ya gari. Cheka ametamba kuibuka na ushindi katika pambano hilo na kuondoka na gari analodai ameandaliwa yeye. Picha na Super D
NIC Insurance Yatoa Elimu Kuhusu Bima ya COMESA kwa Wamiliki wa Vyombo vya
Moto
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya NIC Insurance imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu
wa Bima ya COMESA (COMESA Yellow Card), ikieleza kuwa hu...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment