Kocha wa mchezo wa Masumbwi, Abdalah Ilamba 'Komandoo' akimfanyisha mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo bondia, Francis Cheka, katika kambi yake jijini Dar es salaam. Chaka anajiandaa na mpambano wake na Mada Maugo utakaofanyika jumamosi ya wiki hii katika ukumbi wa PTA Sabasaba ambapo mshindi atakuwa bingwa wa Mkanda wa I.B.F na atanyakua Zawadi ya gari. Cheka ametamba kuibuka na ushindi katika pambano hilo na kuondoka na gari analodai ameandaliwa yeye. Picha na Super D
Maridhiano na Uadilifu: Tamko la Kiislamu Laweka Masharti ya Kudumu kwa
Amani ya Taifa
-
Katika tamko lao, Taasisi za Kiislamu zimeainisha msimamo wao thabiti
kuhusu mchakato wa maridhiano ya kitaifa, wakisisitiza kwamba maridhiano
hayo la...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment