Kocha wa mchezo wa Masumbwi, Abdalah Ilamba 'Komandoo' akimfanyisha mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo bondia, Francis Cheka, katika kambi yake jijini Dar es salaam. Chaka anajiandaa na mpambano wake na Mada Maugo utakaofanyika jumamosi ya wiki hii katika ukumbi wa PTA Sabasaba ambapo mshindi atakuwa bingwa wa Mkanda wa I.B.F na atanyakua Zawadi ya gari. Cheka ametamba kuibuka na ushindi katika pambano hilo na kuondoka na gari analodai ameandaliwa yeye. Picha na Super D
BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI, KUHAKIKISHA BARABARA YA DAR - LINDI INAPITIKA
NDANI YA SAA 72.
-
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu na kuwahakikishia
wananchi, wasafiri na wasafirishaji kuwa ameweka kambi Mkoa wa Lindi
kuhakikisha an...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment