Je Kazi ya Askari wa Usalama Barabarani ni pamoja na kumkamata dereva kama wa gari hili ama la? kwani kama picha hii inavyoonekana Askari wa Usalama Barabarani akiwa upande wa Kulia, akilishangaa tu gari hili lililosheheni mzigo uliozidi uwezo wa gari huku likienda upande na kuhatarisha usalama wa magari mengine yanayopishana nalo katika barabara ya Tunguu mjini Zanzibar hivi karibuni.
Mechi Moto, Odds Kubwa! Bashiri na Meridianbet Ujishindie Leo
-
MECHI kibao za moto kupigwa siku ya leo huku wakali wa ubashiri wakiwa
tayari wamekupa nafasi ya kushinda. Ingia kwenye akaunti yako na uanze
safari y...
1 minute ago

No comments:
Post a Comment