Mshatkiwa Elizabeth Michael |(17), ' Lulu'
akiwa chini ya ulinzi wa Polisi wakati akipelekwa kupandishwa kizimbani katika kesi inayomkabili ambapo kesi hiyo leo ilifika mahakamani hapo kwa ajili ya
kutajwa kutokana na Upelelezi kuwa bado haujakamilika. Kwa mujibu wa Wakili wa Serikali
Elizabeth Kaganda alisema mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Rita Tarimo
kuwa kesi hiyo itatajwa tena Mei 7 mwaka huu. Mtuhumiwa amerudishwa rumande. Picha na Mpiga Picha Wetu
RAIS SAMIA AFANYA MABADILIKO YA MUUNDO WA WIZARA , ATEUA VIONGOZI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amefanya mabadiliko makubwa ya muundo katika Wizara mbili na kuteua
viongozi m...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment