Mshatkiwa Elizabeth Michael |(17), ' Lulu'
akiwa chini ya ulinzi wa Polisi wakati akipelekwa kupandishwa kizimbani katika kesi inayomkabili ambapo kesi hiyo leo ilifika mahakamani hapo kwa ajili ya
kutajwa kutokana na Upelelezi kuwa bado haujakamilika. Kwa mujibu wa Wakili wa Serikali
Elizabeth Kaganda alisema mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Rita Tarimo
kuwa kesi hiyo itatajwa tena Mei 7 mwaka huu. Mtuhumiwa amerudishwa rumande. Picha na Mpiga Picha Wetu
MAVUNDE AIAGIZA TUME YA MADINI KUWASILISHA ORODHA YA WAZALISHAJI WA MADINI
ILI KUWAKUTANISHA NA BENKI RAFIKI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma.
SERIKALI imeiagiza Tume ya Madini kuwasilisha orodha ya wazalishaji wote
waliopo nchini ili iweze kuwasaidia kuwakuta...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment