Kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake mapema akiuchapa usingizi huku akiwa na mzigo wake wa fuko la chupa chakavu, kama alivyonaswa na kamera ya sufianimafoto, pembezoni mwa Barabara ya Morogoro, eneo la Akiba jijini Dar es Salaam.
JINSI SERIKALI INAVYOJIBU KILIO CHA AJIRA KWA VIJANA NCHINI TANZANIA
-
Katika hatua inayotajwa kama "mkombozi wa vijana," Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania imeanza kutekeleza mkakati kabambe wa kupunguza
msonga...
11 minutes ago

No comments:
Post a Comment