Wahusika wamechemka nini kuvidhibiti Vibajaji kujazana maeneo ya katikati ya mji? Japo wahusika walianza kwa kazi na kutangaza utaratibu wa usafiri kama huu ikiwa ni pamoja na Vidaladala Hice kutofika maeneo ya katikati ya mji lakini hivi sasa inaonekana kulegeza kamba kama si kushindwa udhibiti huo kwani siku hizi imekuwa ni kawaida tu kuviona vibajaji na Pikipiki 'Bodaboda' zikiwa zimetega maeneo ya Posta Mpya pembeni mwa Jengo la Benjamin Mkapa mida ya kuanzia saa 10 jioni zikisubiri abiria.
WAZIRI TAX AHITIMISHA RASMI MAFUNZO YA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU DULUTI
-
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt Stergomena Tax (Mb,)
amefunga rasmi mafunzo ya mwaka mmoja ya Ukamanda na Unadhimu, ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment