Wahusika wamechemka nini kuvidhibiti Vibajaji kujazana maeneo ya katikati ya mji? Japo wahusika walianza kwa kazi na kutangaza utaratibu wa usafiri kama huu ikiwa ni pamoja na Vidaladala Hice kutofika maeneo ya katikati ya mji lakini hivi sasa inaonekana kulegeza kamba kama si kushindwa udhibiti huo kwani siku hizi imekuwa ni kawaida tu kuviona vibajaji na Pikipiki 'Bodaboda' zikiwa zimetega maeneo ya Posta Mpya pembeni mwa Jengo la Benjamin Mkapa mida ya kuanzia saa 10 jioni zikisubiri abiria.
ULIPAJI KODI NI MSINGI WA MAENDELEO YA TAIFA - DC KISHAPU
-
MKUU wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Peter Masindi, amesema kulipa
kodi ni muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa kwani kupitia Kodi Serikali
imeen...
1 hour ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment