Wahusika wamechemka nini kuvidhibiti Vibajaji kujazana maeneo ya katikati ya mji? Japo wahusika walianza kwa kazi na kutangaza utaratibu wa usafiri kama huu ikiwa ni pamoja na Vidaladala Hice kutofika maeneo ya katikati ya mji lakini hivi sasa inaonekana kulegeza kamba kama si kushindwa udhibiti huo kwani siku hizi imekuwa ni kawaida tu kuviona vibajaji na Pikipiki 'Bodaboda' zikiwa zimetega maeneo ya Posta Mpya pembeni mwa Jengo la Benjamin Mkapa mida ya kuanzia saa 10 jioni zikisubiri abiria.
Nguvu ya Kidijitali na Uzalendo: Kwa Nini Watanzania Tunapaswa Kumlinda na
Kumbeba Latricia Kileleni
-
Katika ulimwengu wa sasa wa utandawazi, ushindani wa urembo na tuzo za
kimataifa kama Miss World umebadilika kutoka kuwa mashindano ya kawaida ya
jukwa...
15 hours ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment