Wahusika wamechemka nini kuvidhibiti Vibajaji kujazana maeneo ya katikati ya mji? Japo wahusika walianza kwa kazi na kutangaza utaratibu wa usafiri kama huu ikiwa ni pamoja na Vidaladala Hice kutofika maeneo ya katikati ya mji lakini hivi sasa inaonekana kulegeza kamba kama si kushindwa udhibiti huo kwani siku hizi imekuwa ni kawaida tu kuviona vibajaji na Pikipiki 'Bodaboda' zikiwa zimetega maeneo ya Posta Mpya pembeni mwa Jengo la Benjamin Mkapa mida ya kuanzia saa 10 jioni zikisubiri abiria.
CHINA IKO TAYARI KUONGEZA MISAADA KWA TANZANIA
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January
Makamba akisalimiana na Mwenyekiti wa Shirika la Ushikiano wa Maendeleo ya
Kimat...
54 seconds ago
No comments:
Post a Comment