Wahusika wamechemka nini kuvidhibiti Vibajaji kujazana maeneo ya katikati ya mji? Japo wahusika walianza kwa kazi na kutangaza utaratibu wa usafiri kama huu ikiwa ni pamoja na Vidaladala Hice kutofika maeneo ya katikati ya mji lakini hivi sasa inaonekana kulegeza kamba kama si kushindwa udhibiti huo kwani siku hizi imekuwa ni kawaida tu kuviona vibajaji na Pikipiki 'Bodaboda' zikiwa zimetega maeneo ya Posta Mpya pembeni mwa Jengo la Benjamin Mkapa mida ya kuanzia saa 10 jioni zikisubiri abiria.
TRA Yajivunia Mageuzi ya Kidijiti, Yataka Vijana Kuwa Mabalozi wa Uzalendo
na Uchumi
-
Na Karama Kenyunko, michuzi TV
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amewataka
vijana kuwa mabalozi wa amani na uzalendo kwa t...
1 hour ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment