Wahusika wamechemka nini kuvidhibiti Vibajaji kujazana maeneo ya katikati ya mji? Japo wahusika walianza kwa kazi na kutangaza utaratibu wa usafiri kama huu ikiwa ni pamoja na Vidaladala Hice kutofika maeneo ya katikati ya mji lakini hivi sasa inaonekana kulegeza kamba kama si kushindwa udhibiti huo kwani siku hizi imekuwa ni kawaida tu kuviona vibajaji na Pikipiki 'Bodaboda' zikiwa zimetega maeneo ya Posta Mpya pembeni mwa Jengo la Benjamin Mkapa mida ya kuanzia saa 10 jioni zikisubiri abiria.
UJENZI WA KAMPASI YA NJOMBE UDOM WAANZA KWA KASI
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ismail Ally Ussi (wa tatu
kushoto) akizindua tawi la Nyakatuntu wilayani Kyerwa. Pamoja naye ni Mkuu ...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment