Mjumbe maalum wa Rais wa Angola Dkt. Andre de Oliveira Sango, akiwasilisha ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Angola, kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana Ikulu ndogo mjini Dodoma leo asubuhi. Picha na Freddy Maro
MAUZO YA HATIFUNGANI YA MAKAZI YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA ASILIMIA 661.1
-
-Mauzo yake yafikia kiasi cha Sh. bilioni 33.08 ikilinganishwa na
Sh.bilioni 5 zilizotarajiwa
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
MAUZO ya Hatifungani ya MAKA...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment