Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa Afrika wakiwa katika mdahalo wa Taasisi ya Kilimo ya GroAfrica, uliofanyika katika jengo la Makao Makuu Mapya ya Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia leo. Mdahalo huo umefanyika kingoni mwa Mkutano wa Uchumi wa Kimataifa kwa Afrika. PICHA NA IKULU
Mwitikio wa Wananchi Walazimisha Tume ya Amani Kuongezewa Muda wa Kazi
-
Mamlaka ya Uteuzi imeridhia maombi ya kuongezewa muda kwa Tume ya
Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya
Uchaguzi Mkuu w...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment