Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa Afrika wakiwa katika mdahalo wa Taasisi ya Kilimo ya GroAfrica, uliofanyika katika jengo la Makao Makuu Mapya ya Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia leo. Mdahalo huo umefanyika kingoni mwa Mkutano wa Uchumi wa Kimataifa kwa Afrika. PICHA NA IKULU
Serikali Yakamata Dhahabu ya Shilingi Bilioni 1.2 Iliyokuwa Ikitoroshwa
-
Wizara ya Madini imefanikiwa kukamata gramu 4,402.20 za dhahabu zenye
thamani ya Shilingi 1,238,458,594.42 iliyokuwa inatoroshwa kwa njia za
panya.
Aki...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment