Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wenzie wa Afrika wakiwa katika mdahalo wa Taasisi ya Kilimo ya GroAfrica, uliofanyika katika jengo la Makao Makuu Mapya ya Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia leo. Mdahalo huo umefanyika kingoni mwa Mkutano wa Uchumi wa Kimataifa kwa Afrika. PICHA NA IKULU
Tanzania namba 2 uzalishaji wa tumbaku Afrika
-
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe wakati akiwasilisha Makadirio ya
Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka 2024/2025 Bungeni
jijini ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment