Wachezaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo alfajiri, wakati wakiondoka kuelekea Abidjan kwa ajili ya kucheza mechi yao ya mchujo ya kwanza ya kuwania tiketi ya kucheza Kombe la Dunia dhidi ya Ivory Coast. Mchezo huo unatarajia kuchezwa siku ya Jumamosi. Picha kwa hisani ya Father Kidev Blog
DKT. MWIGULU: WEZI WA FEDHA ZA UMMA WASIHAMISHWE, WAKAMATWE MARA MOJA
-
Na Janeth Raphael -MichuziTv Singida
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba,
ameagiza kuchukuliwa hatua kali za kisheri...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment