Wachezaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo alfajiri, wakati wakiondoka kuelekea Abidjan kwa ajili ya kucheza mechi yao ya mchujo ya kwanza ya kuwania tiketi ya kucheza Kombe la Dunia dhidi ya Ivory Coast. Mchezo huo unatarajia kuchezwa siku ya Jumamosi. Picha kwa hisani ya Father Kidev Blog
Afya : Wizara ya Afya Yasikitishwa na Wanaotapeli kwa Jina la Mchengerwa
-
WIZARA ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu
ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary
Mchengerwa ...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment