Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe Dkt. Fenella Mukangara, amepata ajali ya Gari maeneo ya Nzega mkoani Tabora, wakati akiwa njiani kuelekea jijini Mwanza katika shughuli za kikazi ambako alialikwa kuhudhuria ufunguzi wa mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale maarufu kama (DARTS). Imeelezwa kuwa katika ajali hiyo Dkt. Mukangara, amepata majeraha madogo madogo tu na watu wote walioambatana naye wamesalimika.
Latricia Ian Ndiye Malkia wa Tanzania 2026
-
Latricia Ian ameibuka mshindi wa *Miss World Tanzania 2026* akibeba
mchanganyiko wa adabu, akili iliyopevuka, na kiu ya dhati ya kuacha alama
kwenye ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment