Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe Dkt. Fenella Mukangara, amepata ajali ya Gari maeneo ya Nzega mkoani Tabora, wakati akiwa njiani kuelekea jijini Mwanza katika shughuli za kikazi ambako alialikwa kuhudhuria ufunguzi wa mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale maarufu kama (DARTS). Imeelezwa kuwa katika ajali hiyo Dkt. Mukangara, amepata majeraha madogo madogo tu na watu wote walioambatana naye wamesalimika.
RC SENYAMULE AIPA KONGOLE WIZARA YA ARDHI KUANZISHA SAMIA ARDHI KLINIKI
-
*Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule ameipongeza Wizara ya
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kuendesha zoezi la Samia Ardhi
Kliniki l...
34 minutes ago

No comments:
Post a Comment