Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe Dkt. Fenella Mukangara, amepata ajali ya Gari maeneo ya Nzega mkoani Tabora, wakati akiwa njiani kuelekea jijini Mwanza katika shughuli za kikazi ambako alialikwa kuhudhuria ufunguzi wa mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale maarufu kama (DARTS). Imeelezwa kuwa katika ajali hiyo Dkt. Mukangara, amepata majeraha madogo madogo tu na watu wote walioambatana naye wamesalimika.
Kisima cha Abood Chazua Taharuki, Hakijatoa Maji Tangu Uzinduzi
-
WANANCHI WA Kata ya Tungi Katika Manispaa ya Morogoro wamelalamikia kitendo
kilichofanywa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Abdulaziz Abood cha
'kuw...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment