Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe Dkt. Fenella Mukangara, amepata ajali ya Gari maeneo ya Nzega mkoani Tabora, wakati akiwa njiani kuelekea jijini Mwanza katika shughuli za kikazi ambako alialikwa kuhudhuria ufunguzi wa mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale maarufu kama (DARTS). Imeelezwa kuwa katika ajali hiyo Dkt. Mukangara, amepata majeraha madogo madogo tu na watu wote walioambatana naye wamesalimika.
MHE. MCHENGERWA AWAOMBA WANARUFIJI WOTE DUNIANI KUJA KUMPOKEA RAIS SAMIA.
-
Na Yohana Kidaga- Muhoro, Rufiji
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Rufiji, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa wito kwa
Wanarufiji na Wandengereko wote duniani kufik...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment