Katibu Msaidizi wa CCM Bi. Anastazia Mwonga, akimkabizi fomu ya kugombea Ukatibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya ya Temeke Bw. Yahaya Ndomondo jijini Dar es salaam jana kwa ajili ya kinyanganyiro cha uchaguzi wa chama hicho, unaotarajia kufanyika hivi karibuni.
ATE YATOA ELIMU NA MSAADA WA ‘PEDI’ KWA MABINTI SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO
DAR
-
Na Mwandishi Wetu, Dar
TAASISI ya Afya na Tumaini Endelevu (ATE) imetoa elimu ya afya ya hedhi kwa
wasichana wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko ya jij...
15 hours ago
No comments:
Post a Comment