Dereva wa Bajaji akijitetea kwa askari wa usalama Barabarani, baada ya kugongana na Pikipiki katika Barabra ya Bagamoyo eneo la Lugalo jijini Dar es Salaam jana. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo.
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
12 hours ago

No comments:
Post a Comment