Dereva wa Bajaji akijitetea kwa askari wa usalama Barabarani, baada ya kugongana na Pikipiki katika Barabra ya Bagamoyo eneo la Lugalo jijini Dar es Salaam jana. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo.
DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI CHANGAMOTO ZA KIBIASHARA KATI YA
TANZANIA NA ZAMBIA
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 16, 2026 ameongoza kikao cha
kimkakati na Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu wa kisekta, Ofisini
kwake,...
34 minutes ago

No comments:
Post a Comment