Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, aliyemaliza muda wake Dkt. Asha-Rose Migiro, anawasili nchini leo na Ndege ya Emirates, baada ya kumaliza muda wake wa kutumikia Shirika la Umoja wa Mataifa (UN). Kdk. Migiro, atapokelewa na viongozi wakuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa waliopo nchini Tanzania, wakiongozwa na Mratibu Mkaazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania, Dkt. Alberic Kacou.
KIKWETE AKUTANA NA SIMBU, AMPONGEZA KWA USHINDI MARATHONI YA BOSTON
-
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete, amekutana na kumpongeza mwanariadha nyota wa Tanzania, Alphonce
Simbu, kuf...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment