Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, aliyemaliza muda wake Dkt. Asha-Rose Migiro, anawasili nchini leo na Ndege ya Emirates, baada ya kumaliza muda wake wa kutumikia Shirika la Umoja wa Mataifa (UN). Kdk. Migiro, atapokelewa na viongozi wakuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa waliopo nchini Tanzania, wakiongozwa na Mratibu Mkaazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania, Dkt. Alberic Kacou.
MPOGOLO: ONGEZEKO LA IDADI YA WATU NI CHANZO CHA UZALISHAJI WA TAKA NCHINI.
-
DAR ES SALAAM.
MKUU wa Wilaya ya ilala Edward Mpogolo amesema Ongezeko la idadi ya Watu ni
Baadhi ya Changamoto zinazosababisha Uzalishaji wa Taka Ngumu.
...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment