Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, aliyemaliza muda wake Dkt. Asha-Rose Migiro, anawasili nchini leo na Ndege ya Emirates, baada ya kumaliza muda wake wa kutumikia Shirika la Umoja wa Mataifa (UN). Kdk. Migiro, atapokelewa na viongozi wakuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa waliopo nchini Tanzania, wakiongozwa na Mratibu Mkaazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania, Dkt. Alberic Kacou.
KAMATI YA BUNGE YA PIC YAGUSA MCHANGA UNAOHAMA
-
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji kwa Umma mwishoni mwa wiki
iliyopita imetembelea eneo la hifadhi ya Ngorongoro ambapo pamoja na mambo
meng...
26 minutes ago

No comments:
Post a Comment