Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, aliyemaliza muda wake Dkt. Asha-Rose Migiro, anawasili nchini leo na Ndege ya Emirates, baada ya kumaliza muda wake wa kutumikia Shirika la Umoja wa Mataifa (UN). Kdk. Migiro, atapokelewa na viongozi wakuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa waliopo nchini Tanzania, wakiongozwa na Mratibu Mkaazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania, Dkt. Alberic Kacou.
Mpogolo atangaza vita dhidi ya madanguro Ilala
-
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ametangaza msako mkali dhidi ya
madanguro na vitendo vya ukiukwaji wa maadili, akisisitiza kuwa Serikali
hait...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment