Khamis Said Abdalla (47), mkazi wa Shehia ya Madungu, Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba, ambae ni mlemavu, akitoa maoni yake kuhusu Katiba mpya katika mkutano wa kutoa maoni kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mpya wakati wa mkutano huo uliofanyika katika Shehia hiyo hivi karibuni. Picha na Othman Maulid
Rais Samia ataka uwekezaji wa ndani kwenye sekta ya afya Afrika
-
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa mwito kwa nchi za Afrika ziongeze uwekezaji
wa ndani katika sekta ya afya ili kujenga mifumo imara, endelevu na
inayoj...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment