Khamis Said Abdalla (47), mkazi wa Shehia ya Madungu, Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba, ambae ni mlemavu, akitoa maoni yake kuhusu Katiba mpya katika mkutano wa kutoa maoni kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mpya wakati wa mkutano huo uliofanyika katika Shehia hiyo hivi karibuni. Picha na Othman Maulid
Uandaaji Utekelezaji wa Miongozo ya Ufuatiliaji na Tathmini Serikalini
Kuongeza kasi ya Ukamilishaji wa Miradi ya Mendeleo Nchini
-
Na Mwandishi wetu Iringa
Imeelezwa kuwa zoezi la uandaaji Utekelezaji wa Miongozo ya Ufuatiliaji na
Tathmini Serikalini Kunachangia kuongeza kasi ya Ukami...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment