Waendesha Pikipiki, Baiskeli na waenda kwa miguu, wote kwa pamoja wakisubiri kuvuka katika eneo ambalo si rasmi katika Taa za kuongozea magari za Tazara. Eneo hili lipo eneo maalu lililo na alama ya Zebra kwa ajili ya kuvukia waenda kwa miguu, lakini wengi wamekuwa wakidharau taratibu hizo na kujivukia kiholela jambo ambalo linasababisha ajali zisizotarajiwa za mara kwa mara.
MBINU ZA MAWASILIANO YATAJWA KUWA UFUNGUO WA MAFANIKIO YA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Katika kuimarisha juhudi za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
nchini, waandishi wa habari na maafisa mawasil...
41 minutes ago

No comments:
Post a Comment