Waendesha Pikipiki, Baiskeli na waenda kwa miguu, wote kwa pamoja wakisubiri kuvuka katika eneo ambalo si rasmi katika Taa za kuongozea magari za Tazara. Eneo hili lipo eneo maalu lililo na alama ya Zebra kwa ajili ya kuvukia waenda kwa miguu, lakini wengi wamekuwa wakidharau taratibu hizo na kujivukia kiholela jambo ambalo linasababisha ajali zisizotarajiwa za mara kwa mara.
Bei ya Petroli Yashuka Tena Desemba, EWURA Yatangaza Bei Mpya
-
DODOMA: Mamlaka ya Ushibiti wa Huduma za Nishati na Maji ( EWURA)
imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta aina ya petroli zitakazotumika
hapa nchini kwa ...
31 minutes ago

No comments:
Post a Comment