Waendesha Pikipiki, Baiskeli na waenda kwa miguu, wote kwa pamoja wakisubiri kuvuka katika eneo ambalo si rasmi katika Taa za kuongozea magari za Tazara. Eneo hili lipo eneo maalu lililo na alama ya Zebra kwa ajili ya kuvukia waenda kwa miguu, lakini wengi wamekuwa wakidharau taratibu hizo na kujivukia kiholela jambo ambalo linasababisha ajali zisizotarajiwa za mara kwa mara.
IMANI YA JUMUIYA YA KIMATAIFA KWA UONGOZI WA RAIS SAMIA IMEJIDHIHIRISHA
KUPITIA UFADHILI WA DOLA BILIONI 1.277 KUENDELEZA UJENZI WA SGR.
-
Aprili 28, 2026, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini
mkataba wa kukamilisha mpango wa ufadhili wa pamoja wenye thamani ya
takribani dola...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment