Watoto wa Kike wa Mkoani Kilimanjaro, wakikokota Punda wao kuelekea kusaka maji katika visima vya chemchem, abapo imeelezwa kuwa watoto wengi wa kike wa maeneo hayo wamekuwa wakishindwa kuhudhuria masomo kutokana na kupewa majukumu ya kusaka maji na wazazi wao.
MBINU ZA MAWASILIANO YATAJWA KUWA UFUNGUO WA MAFANIKIO YA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Katika kuimarisha juhudi za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
nchini, waandishi wa habari na maafisa mawasil...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment