Watoto wa Kike wa Mkoani Kilimanjaro, wakikokota Punda wao kuelekea kusaka maji katika visima vya chemchem, abapo imeelezwa kuwa watoto wengi wa kike wa maeneo hayo wamekuwa wakishindwa kuhudhuria masomo kutokana na kupewa majukumu ya kusaka maji na wazazi wao.
WATUMISHI WAPYA TASAC WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania- TASAC Bw. Mohamed
Salum leo tarehe 16 Januari, 2026 amehitimisha rasmi mafunzo kwa watumisi
wapy...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment