Rais wa Rwanda, Paul Kagame, akisalimiana na Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Shy-Rose Bhanji, baada ya kufungua rasmi Mkutano Mkuu wa vyombo vya habari vya Afrika Mashariki katika Hoteli ya Serena mjini Kigali, Rwanda jana. Picha na Mukhatar Bolyao- EAC
Bank of Africa Tanzania Yatoa Mafunzo ya Fedha kwa Wajasiriamali Dodoma
-
Bank of Africa Tanzania imeandaa warsha kwa ajili ya wajasiriamali iitwayo
SME Clinic ambayo inalenga kutoa elimu ya masuala ya fedha ili kusaidia
ukuaji...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment